Menu ›
Burudani
Fri, 27 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Injili nchini Kenya, Willy Paul ametangaza kwamba amechoka kulala pekeake,yupo Single na anatafuta mtoto wa kike.
Ametoa nafasi, kwa mrembo yeyote anayemtaka aweze kujitokeza.
Unaweza kubali dadako apendane na Pozee?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live