Menu ›
Burudani
Fri, 20 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa muziki kutoka Marekani, Adele ameweka wazi kuachana na Pombe muda mrefu uliopita baada ya kuwa mlevi chakari.
Staa wa muziki kutoka Marekani, Adele ameweka wazi kuachana na Pombe muda mrefu uliopita baada ya kuwa mlevi chakari. Akiwa katika onyesho lake huko L.A, Adele alifunguka kuwa aliacha kunywa pombe kama miezi mitatu iliyopita huku akisema kuwa alikuwa mlevi wa kupindukia kwa miaka 20.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live