Menu ›
Burudani
Mon, 6 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mrembo Nai amesema kuwa siku akilewa atazungumza ukweli kuhusu kuhusishwa kuwahi kutoka kimapenzi na Staa wa muziki Diamond.
Mrembo Nai amesema kuwa siku akilewa atazungumza ukweli kuhusu kuhusishwa kuwahi kutoka kimapenzi na Staa wa muziki Diamond. Hii ni baada ya shabiki mmoja kumuuliza mrembo kama amewahi kutoka kimapenzi na staa wa muziki Diamond kupitia Instastory yake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live