Menu ›
Burudani
Sun, 13 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mrembo mfanyabiashara na maarufu mitandaoni amemkataa live jamaa amabaye anadaiwa kuwa alikuwa mpenzi wake aitwaye Karia ambaye ni kinyozi maarufu kwa kusema hakuwahi kuwa mpenzi wake.
akizungumza na Wasafi TV, Niffer alisema jamaa huyo alikuwa tu mshikaji wake lakini hawajawahi kuwa kwenye mahusiano.
"Hajawahi kunioa. Hakuwa X wangu yule na mimi sina X. Mimi nina mwanaume wangu kwa sasa na sio boyfriend," alisem Niffer.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live