Menu ›
Burudani
Fri, 20 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rapa Nicki Minaj anadai angependa kumuandikia ngoma msanii yeyote, iwe ni msanii wa Rap au msanii wa kuimba yeye anatamani kumuandikia tu.
Rapa Nicki Minaj anadai angependa kumuandikia ngoma msanii yeyote, iwe ni msanii wa Rap au msanii wa kuimba yeye anatamani kumuandikia tu. Swali ni je unahisi @nickiminaj anaweza kuwa muandishi mzuri kwenye aina gani ya muziki kati ya hizo na je ni nani atapata bahati hii?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live