Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Nicki Minaj abadili ratiba ya kuachia albamu yake mpya

8355 Gettyimages 848083308 Fdc31310 0da0 4787 892b C6211dd6ebc4 3 TZW

Fri, 25 May 2018 Chanzo: bongo5.com

Nicki Minaj ameamua kubadilisha ratiba ya kuachia albamu yake mpya.



Mapema mwezi huu katika onyesho la mitindo na mavazi Met Gala lililofanyika mjini New York, malkia huyo wa Hip Hop alisema albamu yake itatok Juni 15 na itaitwa jina la Queen.

Kupiia mtandao wake wa Twitter, Nicki ameonekana kubadili muda wa kuachia albamu hiyo na kupanga kuiachia Oktoba 8, 2018.”8|10|18 #Queen,” ameandika Minaj.



Albamu ya mwisho ya Nicki Minaj ilikuwa inaitwa The Pinkprint (2014) ambayo ilifanikiwa kutinga namba moja kwenye chati za Billboard 200.

Loading...
Chanzo: bongo5.com