Menu ›
Burudani
Tue, 12 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kuachia albumu yake ya ‘Pink Friday 2’ na kufanya vizuri, sasa ‘rapa’ Nicki Minaj ameachia mkeka rasmi wa sehemu atakazozunguka na kufanya ziara ifikapo mwaka 2024.
Baada ya kuachia albumu yake ya ‘Pink Friday 2’ na kufanya vizuri, sasa ‘rapa’ Nicki Minaj ameachia mkeka rasmi wa sehemu atakazozunguka na kufanya ziara ifikapo mwaka 2024. Ziara hiyo ambayo imepewa jina la ‘Nicki Minaj Pink Friday 2 Tour’ inatarajiwa kuanza Machi mosi mwaka 2024 katika mji wa #Oakland #California na kutamatika Juni 7, Berlin.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live