Menu ›
Burudani
Wed, 29 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rapa Nicki Minaj amesema moja ya mambo anayojutia katika maisha yake ni kufanya upasuaji (plastic surgery) wa kurekebisha muonekano wake.
Rapa Nicki Minaj amesema moja ya mambo anayojutia katika maisha yake ni kufanya upasuaji (plastic surgery) wa kurekebisha muonekano wake. Katika mahojiano na The Run-Through with Vogue, Minaj amesema anapoangalia picha zake za kitambo anagundua alikuwa sawa tu wala hakuhitaji kufanya upasuaji.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live