Menu ›
Burudani
Mon, 19 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Barbie Queen @nickiminaj amewagaraza Drake, CardiB #Future #PostMalone #TravisScott #JackHarlow na #Latto baada ya kuibuka mshindi wa msanii bora wa HipHop wa mwaka tuzo za Peoples Choice Award 2024.
Barbie Queen @nickiminaj amewagaraza Drake, CardiB #Future #PostMalone #TravisScott #JackHarlow na #Latto baada ya kuibuka mshindi wa msanii bora wa HipHop wa mwaka tuzo za Peoples Choice Award 2024. Washindi wengine wa tuzo hizo ni Beyonce (RnB Arstist of the year) Ice Spice (New artist of the year) Taylor Swift (Female artist of the year) Barbie World (Collaboration song of the year).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live