Menu ›
Burudani
Thu, 11 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nicki Minaj kuja na mfumo wa namba 5. Ni miaka mitano imepita tangu aachie Album yake ya Nne (QUEEN) ambayo ilitoka mwaka 2018.
Nicki Minaj kuja na mfumo wa namba 5. Ni miaka mitano imepita tangu aachie Album yake ya Nne (QUEEN) ambayo ilitoka mwaka 2018. Jana amedokeza juu ya ujio wa Album yake mpya ambayo itakuwa ya Tano (NM5) kwenye mfululizo wa Album zake, amesema itatoka mwaka huu 2023.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live