Menu ›
Burudani
Sun, 26 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki Nick Minaj ameachiliwa na Jeshi la Polisi Uholanzi mara baada ya kukamatwa na Bangi uwanja wa ndege wa Amsterdam, Uholanzi.
Nicki Minaj baada ya kukamatwa alidai kwamba hahusiki na bangi hizo, bali ni mali za walinzi wake.
Nicki Minaj alishikiliwa kwa masaa kadhaa, akatozwa faini kisha akaruhusiwa kuendelea na safari.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live