Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Nguli wa Filamu Marekani afariki Dunia

Matthew Perry2 40d0db9d3d5d4bdd9335c6fe0f0c30bd Matthew Perry

Sun, 29 Oct 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Muigizaji kutoka nchini Marekani Matthew Perry amefariki dunia baada ya kupata mshtuko na kudondokea kwenye Jacuzzi nyumbani kwake Los Angeles jana Jumamosi.

kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo vinaeleza kuwa msanii huyo kabla ya kifo chake alikuwa akicheza mchezo wa #Pickleball, nyumbani kwake, ghafla akapata mshtuko na kudondokea kwenye Jacuzzi.

Mpaka sasa hakijajulikana chanzo rasmi cha kifo chake ingawa maofisa wa polisi nchini humo wanaendelea na uchunguzi juu ya kifo cha msanii huyo.

Ikumbukwe kuwa msanii huyo mwenye umri wa miaka 54 aliwahi kupata umaarufu katika filamu mbalimbali ikiwemo ya Chandler Bing, Sunshine.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live