Menu ›
Burudani
Wed, 18 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa jarida la billboard ngoma ya Pounds and Dollars ya Diamond Platnumz ft Wouter Kellerman ni miongoni mwa ngoma zilizopendekezwa kuchaguliwa kuwania tuzo za Grammy 2024 (Grammy consideration) kwenye kipengele cha Best African Music performance.
Ikumbukwe Wouter Kellerman alichaguliwa kuwania tuzo hizo mwaka huu 2023 na kushinda kwenye kipengele cha Best Global Music Performance kupitia wimbo wa Bayethe alioshirikiana na Zakes Bantwini pamoja na Nomcebo Zikode.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live