Menu ›
Burudani
Wed, 19 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtandao wa Spotify umetangaza “Champion Sound” ya Mwanamuziki kutoka Nigeria, David Adeleke (Davido) aliomshirikisha Lethabo Sebetso (Focalistic) wa Afrika Kusini ndio Wimbo wa Amapiano ulioongoza kwa kusikilizwa zaidi katika mtandao huo
Spotify ilitoa tangazo hilo Juni 16, 2024, ikiwa ni siku ya Vijana ya Afrika Kusini, ambayo inaadhimishwa kusherehekea Vijana wa taifa hilo na harakati zao za Uhuru na Haki
Wimbo wa “Champion Sound” ulitoka mwaka 2021.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live