Menu ›
Burudani
Mon, 26 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki kutoka Marekani, D.Love ameachia video ya ngoma yake mpya iitwayo ‘Nobody’ aliyomshirikisha Evan Cristo. Audio ya ngoma hiyo imetayarishwa na The Chemist, wakati video imeongozwa na director Minz kutoka Tanzania.
Msanii wa muziki kutoka Marekani, D.Love ameachia video ya ngoma yake mpya iitwayo ‘Nobody’ aliyomshirikisha Evan Cristo. Audio ya ngoma hiyo imetayarishwa na The Chemist, wakati video imeongozwa na director Minz kutoka Tanzania.
Chanzo: bongo5.com