Menu ›
Burudani
Tue, 30 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki wa Hip Hop, Mansuli ameachia wimbo wake mpya ‘Usiogope’ akiwa amemshirikisha muimbaji, Nuru The Light. Audio imeandaliwa na producer Ammy na kufanyiwa mastering na Chizan Brain.
Msanii wa muziki wa Hip Hop, Mansuli ameachia wimbo wake mpya ‘Usiogope’ akiwa amemshirikisha muimbaji, Nuru The Light. Audio imeandaliwa na producer Ammy na kufanyiwa mastering na Chizan Brain.
Chanzo: bongo5.com