Bilnass au Nenga; ni rapa mkali Bongo na mchumba wa malkia wa Bongo Fleva, Nandy The African Princess ambaye amemtaka mrembo wake huyo amfanyie mambo ya Ashura wa Tabata; yule mwanamke aliyemfungia ndani Diwani wa Kawe, Mutta Rwakatare tangu Februari, mwaka huu.
Bilnass au Nenga; ni rapa mkali Bongo na mchumba wa malkia wa Bongo Fleva, Nandy The African Princess ambaye amemtaka mrembo wake huyo amfanyie mambo ya Ashura wa Tabata; yule mwanamke aliyemfungia ndani Diwani wa Kawe, Mutta Rwakatare tangu Februari, mwaka huu. Sasa; Nenga na Nandy wamepita na upepo huo ambapo rapa huyo ameposti picha yao wawili wakiwa kwenye ndege na kuandika; “Diwani akiwa na Ashura…Maeneo ya Tabata Baracuda….Jamani nisitafutwe mpaka mwakani…”