Menu ›
Burudani
Tue, 8 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii Billnass ameshea 'Experience' yake kuhusu suala zima la ndoa kwa kusema ndoa sio mbaya na haina shida yoyote kwa mastaa bali ubaya wanao wanandoa wenyewe.
Msanii Billnass ameshea 'Experience' yake kuhusu suala zima la ndoa kwa kusema ndoa sio mbaya na haina shida yoyote kwa mastaa bali ubaya wanao wanandoa wenyewe. Billnass na mkewe Nandy walifunga ndoa miezi mitatu iliyopita na ndoa inasemekana imeweka historia ya kutumia bajeti kubwa kuliko ndoa za mastaa wengine Bongo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live