Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Naziz afiwa na mwanaye akiwa hotelini Tanzania

Nazizi 782550 Naziz afiwa na mwanaye akiwa hotelini Tanzania

Thu, 28 Dec 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mwanamuziki maarufu kutoka nchini Kenya, Nazizi amepata pigo kubwa baada ya kufiwa na mtoto wake aitwaye Jazeel.

Kwa mujibu wa ujumbe uliochapishwa kwenye ukurasa wa Instagram wa Nazizi umeeleza kuwa #Jazeel amefariki akiwa nchini Tanzania kwaajili ya mapumziko ya Christmas

Barua hiyo haijaeleza kwa undani sababu ya kifo cha mtoto huyo lakini imeeleza kuwa kuna tukio lililotokea wakiwa Hotelini ambalo limepelekea kifo Chake

Tukio hilo limetokea Desemba 25, 2023 siku ya Sikukuu ya Christmas. Tayari mtoto huyo amezikwa nchini Kenya siku ya leo.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live