Menu ›
Burudani
Mon, 17 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ikiwa ni saa chache baada ya mastaa wa Bongo Fleva, Juma Jux na Diamond Platnumz kufanya house party usiku wa kuamkia jana, Nay wa Mitego ameibuka na kutoa kauli tata kwa mastaa hao.
Kupitia Insta Stori yake, Nay ameandika ujumbe huu; "Kama demu wako alikuwepo kwenye house party jana, bro huna demu hapo, hilo ni ngadu kama mangadu mengine ya mjini," amesema Nay wa Mitego.
Party hiyo ambayo imekuwa gumzo mitandaoni ilihudhuriwa na Mastaa kibao wa Bongo wakiwem Baba Levo, Whozu, Rommy Jones, Jux na mastaa wengine sambamba na warembo wa kutosha.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live