Menu ›
Burudani
Wed, 9 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya mkuu wa mkoa wa Dar Albert Chalamila kumwambia msanii Nay wamitego kuwa anachonganisha serikali na Wananchi kupitia nyimbo zake, msanii huyo wa bongo amemjibu mkuu huyo wa mkoa kwa kumwambia..
Baada ya mkuu wa mkoa wa Dar Albert Chalamila kumwambia msanii Nay wamitego kuwa anachonganisha serikali na Wananchi kupitia nyimbo zake, msanii huyo wa bongo amemjibu mkuu huyo wa mkoa kwa kumwambia.. "Nakosa neno la kujibu my brother mkuu wa mkoa wa Dar, but niseme tu hakuna cha uchochezi nilichoimba kwenye wimbo #Amkeni Ni vile tu hampendi kuambiwa ukweli"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live