Menu ›
Burudani
Thu, 2 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kundi la muziki la @navykenzoofficial ninaoundwa na wapenzi wawili Nahreel na Aika limetangaza kuanza kuachia mawe yao kwa mwaka mpya 2023.
Kundi la muziki la @navykenzoofficial ninaoundwa na wapenzi wawili Nahreel na Aika limetangaza kuanza kuachia mawe yao kwa mwaka mpya 2023. Kwenye mitandao ya kijamii ya kundi hilo la @navykenzoofficial wametangaza kuachia project yao ya kwanza kwa mwaka 2023 tarehe 09 mwezi huu wa pili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live