Menu ›
Burudani
Thu, 9 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kundi la muziki Bongo, Navy Kenzo wameachia album yao mpya iitwayo Most People Want This.
Album hiyo ina jumla ya ngoma 12, Kama "Hold On" Ft Fireboy (Nigeria), Manzese, TooLong, Tonight N.k.
Wawili hao mbali na kufanya muziki pamoja, pia ni wapenzi wa muda mrefu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live