Menu ›
Burudani
Mon, 26 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hatimaye mtoto wa Supastaa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ambaye alizaa na mrembo kutoka Kenya, Tanasha Donna, Naseeb Jr amekabidhiwa rasmi Usafini.
Kutoka kwenye ukurasa wa instagram wa mama wa mwanamuziki Diamond Platnumz @mama_dangote anaandika.
Mr. Tom kaka mdogo leo namkabidhi kijiti cha wasafi ????Mimi mwenyewe.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live