Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Napokea vitisho kutoka kwa TID kisa demu – Calisah

438 Calisah Na TID TZW

Wed, 20 Dec 2017 Chanzo: bongo5.com

Model Calisah amefunguka kwa kudai kwamba anapokea vitisho vingi kutoka kwa muimbaji, TID kwa madai anamchukulia demu wake.

Calisah amedai amekuwa akipokea vitisho kutoka kwa marafiki zake wa karibu wakidai wametumwa na muimbaji huyo aliyewahi kufanya vizuri na wimbo, Zeze.

“Ni kweli nimekuwa nikipokea vitisho kutoka kwa TID anadai namchukulia demu wake sio kweli,” Calisah aliimbia Bongo5. “Huyo demu nilikutana naye kwenye bwawa la kuogelea akajoin na mimi basi tukawa washkaji kabisa mpaka sasa tunaongea vizuri na ni watu wa kawaida,”

Muimbaji TID alimpost mrembo huyo kupitia instagram yake na kuandika “My melodies Sing back,Half human half Mnyama she is my Nusu kwa Nusu,”

….My melodies Sing back,Half human half Mnyama she is my Nusu kwa Nusu

A post shared by TOP in DaR aka RADAR MAN (@tidmusic) on Nov 23, 2017 at 3:02pm PST

Picha za Calisah na mwanadada huyo.

Chanzo: bongo5.com