Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Napewa mabusu kama mtoto wa njiwa – Riyama Ally

4526 CCGAAAAVA.png TZW

Mon, 12 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa Filamu Bongo, Riyama Ally amesema moja ya tabia zinazomchanganya kutoka kwa mume wake, Leo Mysterio ni kupewa mabusu ya kila mara.



Muigizaji huyo ameiambia Times Fm kuwa kitendo kimekuwa kama mfumo wa maisha yao kwa sasa.

“Naona kama ananiibia, mabusu yale, ana mabusu huyu kulamba lambana kama majibwa,” amesema Riyama.

“Nikirudi tu, huko kwenye mapunziko mimi nakula mabusu, nachodolewa chondole tena kama mtoto wa njiwa, unajua tena mzaramo na mibusu,” ameongeza.

Katika hatua nyingi Riyama amesema suala la kuongeza mtoto katika familia yao ni mipango ya Mwenyenzi Mungu hivyo wanavuta subra.

Chanzo: bongo5.com