Menu ›
Burudani
Fri, 26 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mapozi ni wimbo wa Mr Blue ambao ulitoka miaka 16 iliyopita, chini ya kiwanda cha G.Records zilipozalishwa hit kibao.
Kwa usiku wa jana tumeshuhudia muunganiko mwingine wa uliyoweka wakali wa tatu kwenye ngoma moja iliyopewa jina la MAPOZ.
Lakini hapa umiliki unakwenda kwa Diamond Platnumz akimshirikisha Mr Blue na Jay Melody ubishi ni mkubwa mtaani kwa sasa ni kuhusu verse ya nani ndiyo imefunika zaidi kati ya Diamond Platnumz, Nyani mzee ‘’Mr Blue’’ na Jay wa Melody.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live