Menu ›
Burudani
Sun, 13 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
The African Princess, Faustina Charles Mfinanga 'Nandy' amesema haoni tatizo mashabiki kumshindanisha na mdogo wake kwenye gemu, Zuhura Othuman 'Zuchu'.
Nandy ameyasema hayo usiku wa kuamkia jana Agosti 12, 2023 alipokuwa kwenye usiku wake uliokwenda kwa jina la Follow The Vibe, ambapo alipewa mic na waandishi wa habari ndipo akafunguka.
"Sioni tatizo mimi watu kunishindanisha na Zuchu kwa sababu ni msanii mzuri, ningeona tatizo labda kushindanishwa na msanii labda ambaye si mkubwa au mzuri," alisema Nandy.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live