Menu ›
Burudani
Fri, 30 Jul 2021
Chanzo: millardayo.com
Ni msanii kutokea Bongo Fleva ,Nandy ambae amezungumza na Ayo TV ENT baada ya kupost gari lake Jipya aina ya Range Rover Evoque kupitia mtandao wa Instagram.
Nandy amedai gari hilo ni jipya amenunua kwa thamani ya milioni zaidi ya 75 za kitanzania.
Unaweza ukabonyeza play kumsikiliza alichokizungumza
Chanzo: millardayo.com