Menu ›
Burudani
Sat, 20 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwimbaji Nandy kupitia menejimenti yake leo ametangaza kuahirishwa kwa Tamasha la “Nandy Festival” ambalo lilikuwa tayari limeanza.
Mwimbaji Nandy kupitia menejimenti yake leo ametangaza kuahirishwa kwa Tamasha la “Nandy Festival” ambalo lilikuwa tayari limeanza. Hii ni kutokana na hali ya Kiafya ya Nandy ambaye ni mjamzito.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live