Menu ›
Burudani
Tue, 2 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki @officialnandy amewatoa hofu mashabiki zake baada ya kudondoka jukwaani usiku wa juzi kwenye show ya @marioo_tz.
Mwanamuziki @officialnandy amewatoa hofu mashabiki zake baada ya kudondoka jukwaani usiku wa juzi kwenye show ya @marioo_tz. Nandy anasema kuwa sababu ya kudondoka ilitokana na kuchoka. Kwa sasa Nandy anaendelea vizuri na ameatakia heri ya Mwaka mpya mashabiki zake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live