Menu ›
Burudani
Thu, 7 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nandy au Nandera; ni malkia wa Bongo Fleva ambaye amemuandikia mchumba wake, Billnass au Nenga ujumbe mzito kuelekea siku muhimu ya ndoa yao ambayo inatafanyika Jumamosi ya wiki ijayo Julai 16, 2022.
Nandy au Nandera; ni malkia wa Bongo Fleva ambaye amemuandikia mchumba wake, Billnass au Nenga ujumbe mzito kuelekea siku muhimu ya ndoa yao ambayo inatafanyika Jumamosi ya wiki ijayo Julai 16, 2022. Nandy anasema; “Nikiangalia kumbukumbu zetu nalia tu, Aaaaaaarg bwana me nimekubali tunapendana huu mwezi safari yetu inahitimishwa na Mungu na ikawe kheri nakupenda mwenzio…”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live