Menu ›
Burudani
Fri, 5 Nov 2021
Chanzo: millardayo.com
NI Mkali kutokea Nchini Kenya, Nameless ambae time hii ameshawasili Dar es Salaam kwaajili ya kuwaimbia Watanzania.
Mkali huyo ameshapokelewa na mwenyeji wake Ambwene Yessaya, na leo anatarajiwa kutoa burudani katika chimbo liitwalo Havoc Masaki Dar es Salaam.
View this post on Instagram
Miongoni mwa collabo zilizofanya vizuri na zinaendelea kuchukua vinywa vya habari ni hii akiwa na mkali Darassa itwayo PAH.
Chanzo: millardayo.com