Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Nakubali anachofanya Alikiba – Q Boy Msafi

5241 Adadadadad 1 TZW

Sat, 24 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki Bongo na mbunifu wa mavazi, Q Boy Msafi amesema anakubali kile anachofanya Alikiba katika muziki.



Akizungumza na Bongo5 muimbaji huyo amesema Alikiba anafanya vizuri katika muziki ila kwa upande wa mavazi kuna kitu ambacho kimepungua.

“Na appriciate anachokifanya na naweza kusema ni miongoni mwa watu ambao naona kuna gap fulani katika uvaaji wake, nikipata ile nafasi naweza kufanya kitu ambacho upeo wangu niliokuwa nao kwamba kuna kitu hiki na hiki naweza kukiweka hapa kikapatikana kitu ambacho kikaleta utofauti,” amesema.

Ameongeza kuwa hamaanishi wanaohusika na mavazi ya Alikiba wanafanya vibaya ila kuna mabadiliko fulani anaweza kufanya katika mavazi yake. Q Boy Msafi aliwahi kuwa mbunifu wa mavazi ya Diamond Platnumz.

Chanzo: bongo5.com