Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

"Na mimi nifunguliwe, kazi inaendelea Mama" Gigy amlilia Rais Samia

GIGY 660x400 1.jpeg "Na mimi nifunguliwe, kazi inaendelea Mama" Gigy amlilia Rais Samia

Tue, 6 Apr 2021 Chanzo: millardayo.com

Msanii wa BongoFleva Gigy Money ameomba kufunguliwa adhabu yake ya miezi 6 baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kusema Vyombo vya Habari vilivyofungwa vifunguliwe ila wafuate sheria na miongozo ya Serikali.

“Wizara ya Habari, nasikia kuna Vyombo vya Habari mmevifungia, sijui viji- TV vya mikononi vile ‘online’, vifungulieni lakini wafuate sheria na miongozo ya Serikali, tusiwape mdomo wa kusema tunabinya Uhuru wa Vyombo vya Habari, tusifungie tu kibabe” Rais Samia Suluhu Hassan 

Baada ya Samia Suluhu Hassan kusema hivyo msanii Gigy Money amecomment’ kwenye post iliyopost kwenye Millard Ayo “Na mimi nifunguliwe jamani, kazi inaendelea mama“.

Chanzo: millardayo.com