Nguli wa muziki wa Taarab nchini, Mzee Yussuf amesema kuna uwezekano wa kuacha tena mziki baada ya miaka miwili au mitatu ijayo kwa sababu atakuwa mtu mzima ila kwa sasa anataka kufaidi pesa za Digital.
Nguli wa muziki wa Taarab nchini, Mzee Yussuf amesema kuna uwezekano wa kuacha tena mziki baada ya miaka miwili au mitatu ijayo kwa sababu atakuwa mtu mzima ila kwa sasa anataka kufaidi pesa za Digital. Mzee Yussuf amesema hayo akihojiwa na EATV na kusema hata alivyoacha muziki mara ya kwanza na kumrudia Mungu hakuwa ame-miss kitu chochote na maisha yake yalikuwa yaleyale tu hakuwa na shida yoyote.