Menu ›
Burudani
Tue, 3 Aug 2021
Chanzo: millardayo.com
Ni Agosti 3, 2021 ambapo mzazi mwenza na msanii Ray Vanny aitwae Fahyma ambae ameonekana kukasirishwa na kitendo cha msanii kutoka lebo ya Konde Gang, Ibraah kupost picha yake mtandaoni iliyozua mijadala tofauti.
Ni Agosti 3, 2021 ambapo mzazi mwenza na msanii Ray Vanny aitwae Fahyma ambae ameonekana kukasirishwa na kitendo cha msanii kutoka lebo ya Konde Gang, Ibraah kupost picha yake mtandaoni iliyozua mijadala tofauti. Ayo TV ENT imekusogezea hapa stori kamili bonyeza play kufahamu yake yanayoendelea mitandaoni.
Chanzo: millardayo.com