Menu ›
Burudani
Sat, 15 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bondia Floyd Mayweather kutoka Marekani amehudhuria kampeni za uchaguzi za Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa.
Uwepo wa bondia huyo nchini humo ni sehemu ya makakati wa kampeni za Rais Mnangagwa kuelekea uchaguzi mkuu mwezi ujao.
Tazama mapokezi yake kwenye Video hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live