Menu ›
Burudani
Sat, 10 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwimbaji nguli wa Rhumba Élisabeth Tshala Muana ameaga Dunia.
Habari za kifo chake zimewekwa asubuhi ya leo kwenye mtandao wa Meta na mtayarishaji na mwandani wake, Claude Mashala.
‘’Mapema asubuhi ya leo Bwana mwema amefanya uamuzi wa kumuita tena Tshala Muana. Mola mwema atukuzwe kwa nyakati zote njema alizotujalia hapa Duniani. Kwaheri Mamu kutoka kwangu’’
Chanzo: www.tanzaniaweb.live