Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mwimbaji nguli wa Rhumba Élisabeth Tshala Muana amefariki dunia

CADA38CA 25FB 441E 91CF 4B2DC9B2F23F.jpeg Mwimbaji nguli wa Rhumba Élisabeth Tshala Muana amefariki dunia

Sat, 10 Dec 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mwimbaji nguli wa Rhumba Élisabeth Tshala Muana ameaga Dunia.

Habari za kifo chake zimewekwa asubuhi ya leo kwenye mtandao wa Meta na mtayarishaji na mwandani wake, Claude Mashala.

‘’Mapema asubuhi ya leo Bwana mwema amefanya uamuzi wa kumuita tena Tshala Muana. Mola mwema atukuzwe kwa nyakati zote njema alizotujalia hapa Duniani. Kwaheri Mamu kutoka kwangu’’

Chanzo: www.tanzaniaweb.live