Baada ya sauti kupazwa na wadau wa Utalii wakiilalamikia Serkali(Bodi ya Utalii,TTB) kumsafirisha Mwijaku nchini Ufaransa kwa Lengo la kwenda kutangaza Utalii wa Nchi na kuona kuwa ni matumizi mabaya ya fedha kwa kuwa Mwijaku hana ujuzi wa kazi hiyo.
Sasa Mwanamitandao huyo ametoa kauli akiweka wazi ni nani hasa aliempeleka Ufaransa kufanya shughuli hizo za Kitalii.
Msikilize Mwijaku katika Video hapa chini akizungumza;
Msikilize Mwijaku akizungumza baada ya Tamko la Bodi ya Utalii nchini kukanusha kumtuma kwenda kutangaza Utalii wa Tanzania nchini Ufaransa ???????? pic.twitter.com/NvEPTZmwTS
— Haki Ngowi (@Hakingowi) October 10, 2023