Menu ›
Burudani
Tue, 13 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
DC wa Instagram, Mwijaku ameibuka na mpya kwa kumvaa, msanii Whozu kuwa amechizika kwenye penzi la muigizaji Wema Sepetu.
Mwijaku ameenda mbali zaidi kwa kudai, kijana huyo hawezi kuhimili kishindo cha kuachwa kama ikitokea mrembo huyo ataamua kummwaga.
"Wema nakuombea dua usije FATA nyayo za Kajala maana huyu Whozu utamkuta mochwari ukija kumuacha. Maana kijana kajisahau hata akipigiwa simu hapokei. Najua sababu ya utamu unao mmpa kama vipi MMWAGEE tuone ana moyo wa ustaamilivu kuishi bila WEMA," aliandika Mwijaku Instagram.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live