Menu ›
Burudani
Sat, 5 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Show alioifanya Staa wa Muziki @rayvanny huko Albania, Hichi ndicho alichokiandika Dc wa Instagram @mwijaku...
"@rayvanny wewe ni mkubwa sasa achana na kujikomba komba kwa MWAMBINO (Diamond) HAKUWEZI wala hato kusaidia kitu.
Hizi level hajawahi kufika , kwenye nchi za watu #ALBANIA umeisimamisha NEMBO na BENDERA ya TANZANIA . Umemuacha mbali MBALI SAAAANA.
Tangaza kambi ya UPINZANIA RASMIII UIOKOE BONGO FLEVA kama anavo fanya MFALME kwa sasa."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live