Menu ›
Burudani
Mon, 25 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtangazaji Mwijaku, amempongeza Harmonize kwa kumposti akiwa na mwanaye, Zuuh Konde.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mwijaku ameposti picha hiyo na kuandika ujumbe huu;
"Yes yes Bao la kisiginoo ..! Nimefurahi sana nafasi ya K imekua covered na mwanamke ambaye hawezi kukusaliti hata ukiwa na hali gani au ukiwa na changamoto gani she will be there foe you . Am so proud of you @harmonize_tz @zuuh_konde
Chanzo: www.tanzaniaweb.live