Baada ya Staa wa muziki Diamond Platnumz kuzungumza jana kuwa ameweza kupoteza kiasi cha Bilioni 4 kwenye kununua ndogo yake binafsi (Private Jet) DC wa Instagram Mwijaku amemjia juu kwa kudai kuwa msanii huyo ni muongo.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Mwijaku ameshea video clip pamoja na picha zikimuonyesha akisema msanii huyo Diamond nimuongo na licha ya hivyo ameandika ujumbe uliosomeka hivi..
"Ungekua na Bil 4 ..! Usinge dhulumu vifaa vya media vya KONDE na wala usinge Muomba KONDE mil 600 .
Nakuhakikishia utaendelea kuteseka mpaka uache dhuluma . Bil 4 sio kwapa useme kila mtu anayooo..!"