Menu ›
Burudani
Sat, 15 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtangazaji wa Clouds Media, Burton Mwemba maarufu kama ‘Mwijaku’ ameibuka na kutoa neno kufuatia supastaa wa Bongo, Rayvanny kujichora tattoo ya jina la mpenzi wake na mzazi mwenzake, Fahyvanny.
Mwijaku ameandika; "Kama unampenda kweli muoe na sio utoto wa kuchorana. Hizo swaga muachie Konde.
“Hakuna mnyakyusa wa aina hiyo, kumchora tattoo sio kumheshimisha mwanamke. Muoe umpe heshima na apate baraka za Mungu. Umemtesa sana na wasambaza U.T.I sugu," amesema Mwijaku.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live