Menu ›
Burudani
Tue, 27 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamisi Mwinjuma 'MwanaFA' ameshusha mistari live alipokuwa kwenye uzinduzi wa Bongo FM Radio.
MwanaFA aliimba wimbo wake wa Asanteni kwa Kuja wimbo ambao kwenye YouTube tayari una miaka nane tangu utoke na umetazamwa na watu zaidi ya Mil. 1.
Uzinduzi wa redio hiyo ulifanyika jana Februari 26,2024 Mbagala jijini Dar.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live