Menu ›
Burudani
Wed, 6 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki na mwanasiasa nchini, Hamisi Mwinjuma MwanaFA, amemtambulisha rapper Young Lunya kama ‘Mfalme’ kupitia ukurasa wake wa X/Twitter.
Mwanamuziki na mwanasiasa nchini, Hamisi Mwinjuma MwanaFA, amemtambulisha rapper Young Lunya kama ‘Mfalme’ kupitia ukurasa wake wa X/Twitter. MwanaFA ambaye ni Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo ameweka utambulisho huo wa “King” kwenye jina la Lunya wakati akiumwagia sifa wimbo wa msanii #Dayoo unatambulika kama ‘Handsome’ ambao wimbo huo Rapa Lunya ameshirikishwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live