Menu ›
Burudani
Tue, 8 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Naibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo mwanafa ame-post picha ambayo location yake inaonesha yupo Cuba, kupitia post hiyo na sehemu aliyopo ameuliza swali kwa wale wanaodai kuwa wamesoma Cuba.
Mwana FA aeandika
"okay..kama kuna mwenzetu alisoma huku na labda alisahau cheti chake hivi anicheki nimchukulie."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live