Menu ›
Burudani
Mon, 8 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwalimu wa Kingereza wa Diamond, Mwalimu Aallen, amesema mazingira ya Tanzania kujifunza Kingereza ni rahisi.
Mwalimu Allen amedai Tanzania kuna mazingira rahisi ya kujifunza kingereza kwa kuwa watu wengi wanatumia lugha hiyo bila kujua.
Amedai miezi 9 inamtosha mtu ambaye hajui kabisa kingereza kuzungumza vizuri kama akiwa na nia na malengo yakutaka kujua.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live