Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mwaka 2017 umekuwa ni mbaya kwangu – Wema Sepetu

933 19428974 1147540988683671 1757263505263689728 N 1 E1514877168857 TZW

Tue, 2 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa Filamu Bongo, Wema Sepetu amefungua changamoto alizokumbana nazo mwaka jana, 2017.

Muigizaji huyo amesema kwa asilimia kubwa haukuwa mwaka mzuri kwake ila kuna baadhi ya vitu alivyoweza kufanikisha.

“Mwaka 2017 umekuwa ni mwaka mbaya kwangu kuanzia mwezi wa pili tarehe tatu hapo ndipo mwaka wangu ulipoanza kuyumba, nilikuwa sana na msongo wa mawazo na nilikuwa siyo mtu mwenye raha ingawa nilijaribu kutabasamu,” amesema Wema.

Ameongeza kuwa moja vitu alivyofanikisha kwa mwaka huu ni kutoa movie yake ya Heaven Sent ambayo aliiachia katika App yake pekee.

Chanzo: bongo5.com